WAFUGAJI ZAIDI YA 3000 NCHINI WAKUTANA LEO KWENYE KONGAMANO LAO IGUNGA TABORA

  Naibu Katibu Mkuu CCWT Ally Manonga (pichani).................................  Na Victor Makinda, Igunga  Zaidi  ya wafugaji 3000 na wadau wengine wa sekta hiyo hiyo,  kutoka maeneo mbali mbali nchini, wamekutana wilayani Igunga mkoani Tabora kwa ajili ya kufanya Kongamano kubwa la kujadili mafanikio na changamoto zinazoikabili sekta hiyo.  Hayo yameelezwa leo mjini Igunga na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT) Ally Manonga (pichani) Manonga amesema kuwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, imetatua matatizo...

MKUU WA MKOA WA TABORA AHIMIZA WANANCHI KUWAFICHUA WAGENI KWENYE ZOEZI LA USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA

  Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe. Agrey Mwandri akiongea na wananchi wa kijiji cha Ussoke Mlimani kushiriki zoezi la usajili wa Vitambulisho vya Taifa. Kushoto ni Maafisa wa NIDA Emiliana Temu na Grace Msacky. 72 1024x768 Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

RC TABORA: TUMIENI FEDHA ZENU ZA MAUZO YA MAZAO KUJILETEA MAENDELEO NA SIO STAREHE NA TIGANYA VINCENT

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Muhuridede wilayani Uyui wakifuatilia mafunzo ya unynyuziaji wa dawa sahihi za kuua wadudu katika zao la pamba yaliyokuwa yakiendeshwa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey mwanri katika ziara yake katika maeneo mbalimali ya kuokoa zao hilo.   Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (kushoto) akiendesha mafunzo ya njia sahihi za kunyunyuzia dawa za kuua wadudu katika zao la pamba katika Kijiji cha Muhuridede wilayani Uyui jana. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Uyui Queen...

CKHT SAIDIENI KATIKA UJENZI WA TANZANIA YA VIWANDA-WAZIRI MKUU MSTAAFU

NA TIGANYA VINCENT RS TABORA 26 February 2018 WAZIRI Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(CKHT) Mizengo Pinda ametoa wito kwa Wataalamu wa Chuo hicho kutoa mafunzo  ambayo yatawasaidia wananchi kuleta mageuzi ambayo yatawezesha katika ujenzi wa Tanzania ya Viwanda na hivyo kutimiza  lengo la Serikali ya Awamu ya Tano. Mkuu huyo wa Chuo Kikuu hicho alitoa kauli hiyo mjini hapa wakati akizungumza na Watumishi na Wanachuo wa CKHT  Tawi la Tabora wakati wa ziara ya siku moja chuoni hapo. Alisema kuwa Chuo hicho kinayo nafasi kubwa ya kuleta...

ELIMU KWA WAFUGAJI WA NYUKI KUMEONGEZA UZALISHAJI WA ASALI HAPA NCHINI.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.   NA TIGANYA VINCENT RS-TABORA 13 February 2018 SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imesema mafunzo ambayo yanayotolewa kwa wafugaji wa nyuki hapa nchini yamesaidia kuongezeka uzalishaji wa mazao ya asali na hivyo kuwepo na uwekezaji katika biashara ya mazao ya nyuki. Hatua hiyo imetokana kuwepo kwa soko kubwa dunia la mazao ya nyuki ambalo limefanya kuwepo na chachu kufungua mianya ya wafugaji na wafanyabiashara kutaka kujifunza juu ya uzalishaji unaoazingatia ubora na unaokubalika...

WAZIRI NCHEMBA: VITAMBULISHO VYA TAIFA VITAONDOA MAPINGAMIZI YA URAIA KATIKA CHAGUZI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Na Tiganya Vincent-rs Tabora Vitambulisho wa uraia vitasaidia kuwa na utambuzi wa wananchi utakao ondoa ile tabia ya baadhi ya watu kutilia mashaka wakati wa shughuli mbalimbali ikiwemo kipindi kushiriki katika zoezi la uchaguzi wote wote. Kauli hiyo ilitolewa jana mjini Tabora na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.Mwigulu Nchemba wakati uzinduzi wa zoezi la usajili wananchi kwa ajili ya vitambulisho vya kitaifa mkoani humo. Alisema kuwa mara nyingi mtu anapogombea nafasi yoyote...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited : |
Copyright © 2012. Tabora Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za mikoa