
Naibu Katibu Mkuu CCWT Ally Manonga (pichani).................................
Na Victor Makinda, Igunga
Zaidi ya wafugaji 3000 na wadau
wengine wa sekta hiyo hiyo, kutoka
maeneo mbali mbali nchini, wamekutana wilayani Igunga mkoani
Tabora kwa ajili ya kufanya Kongamano kubwa la kujadili mafanikio na changamoto
zinazoikabili sekta hiyo.
Hayo yameelezwa leo mjini Igunga na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Wafugaji
Tanzania (CCWT) Ally Manonga (pichani)
Manonga amesema kuwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia
Suluhu Hassan, imetatua matatizo...