Home » » Mashindano ya Igombe Marathon yafana mjini Tabora‏

Mashindano ya Igombe Marathon yafana mjini Tabora‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Wanariadha wakianza mbio za Igombe marathon zilizo dhaminiwa na Tigo, mjini Tabora

Mgeni rasmi ,Mkuu wa wilaya wa Tabora mjini, bw.Suleiman Kumchaya(katikati na track suit ya samawati), akiwaongoza wanariadha katika mbio za Tigo Igombe marathon




Mgeni rasmi wa Tigo Igombe marathon, Bw.Suleiman Kumchaya, mkuu wa wilaya wa Tabora mjini, akiwahutubia washiriki wa mbio hizo (hawapo pichani), kulia kwake ni Bw.Kamara Kalembo, meneja masoko kanda ya Ziwa kutoka Tigo, na Kushoto ni OCD wa Tabora mjini


Washindi wa kike wa mbio za Tigo Igombe marathon, wakiwa katika picha ya moja baada ya kushiriki mbio za Tigo Igombe marathon


Washindi wa kiume wa mbio za Tigo Igombe marathon, John Mwandu mshindi wa kwanza(Kulia), Kagito Shindai mshindi wa pili(Katikati), Juma Ali mshindi wa tatu wakiwa katika picha ya moja baada ya kushiriki mbio za Tigo Igombe marathon

Washindi wa Igombe marathon kuanzia wa kwanza hadi wa tatu(wanaume na wanawake) wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi na wadhamini wa mbio hizo(Tigo)


Washiriki wa Tigo igombe marathon wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi na wadhamini wa mbio hizo

CHANZO; MWANAHARAKATI MZALENDO 


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited : |
Copyright © 2012. Tabora Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za mikoa