Katibu
Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.
Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Chuo cha
Maendeleo ya Wananchi kilichopo Nzega Mkoani Tabora.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.
Sihaba Nkinga (katikati) akiangalia chumba kwa ajili ya mafunzo ya
Komputa alipotembelea Chuo cha Maendeleo ya Wananchi kilichopo Nzega
Mkoani Tabora.Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Bw. Bw. Eustaki Shirima na
Kushoto ni Mkurugenzi Idara ya Ununuzi na Ugavi kutoka Wizara hiyo Bw.
Richard Mallya.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.
Sihaba Nkinga (katikati) akiangalia karakana inayotumika kwa mafunzo
katika chuo hicho, Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Bw. Eustaki Shirima.
Jengo la Karakana katika chuo hicho.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.
Sihaba Nkinga akiongea na watumishi katika chuo hicho mapema leo
alipotembelea kuona utendaji chuoni hapo.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.
Sihaba Nkinga akijadiliana jambo na Mkurugenzi Idara ya Ununuzi na Ugavi
kutoka Wizara hiyo Bw. Richard Mallya (katikati) na Mkuu wa Chuo cha
Maendeleo ya Wananchi Bw. Eustaki Shirima kilichopo Nzega Mkoani Tabora
alipokitembelea chuo hicho mapema leo.
PICHA NA HASSAN SILAYO-MAELEZO
0 comments:
Post a Comment